Mokiwa Chedy Dominic

Think big, act simple. Happiness is hidden in simple things

About

Our mission is to help people discover the hidden treasure in doing small acts of kindness. Health is capital, and health is built by considering the smallest things. Think big, act simple. Happiness is hidden in simple things.

Tag: tanzania

  • Madhara ya Vyakula vya Kukaangwa kwa Afya

    Madhara ya Vyakula vya Kukaangwa kwa Afya

    Athari za Kula Vyakula vya Kukaangwa Kumekuwa na ongezeko kubwa la matumizi ya vyakula viilivyokaangwa. Mtindo huu wa maisha umepelekea ongezeko la magonjwa mengi yasiyoambukiza na yanayoambukiza pia. Jamii ya mwanadamu imeshuhudia mabadiliko makubwa ya mwanadamu kitabia na kiutamaduni, mabadiliko hayo yamegusa pia mtindo wa chakula. Utafiti unaonesha kuwa mwanadamu ndiye kiumbe anayeongoza kwa magonjwa… Read.

  • Vyakula Bora kwa Watoto wa Miezi Sita: Vitu Muhimu kwa Afya ya Mtoto

    Vyakula Bora kwa Watoto wa Miezi Sita: Vitu Muhimu kwa Afya ya Mtoto

    Chakula cha Mtoto Mchanga wa Miezi Sita Kama tuliyoona katika somo lililotangulia, Shirika la UNICEF linashauri kuwa watoto wachanga wanapaswa kunyonyeshwa kama wanavyohitaji. Yaani mara kwa mara kulingana na wanavyojisikia mtoto anavyojisikia. Kuanzia umri wa miezi 6, watoto wanapaswa kuanza kula vyakula salama. Wanapaswa kula kiasi cha kutosha cha vyakula vya ziada huku wakiendela kunyonya… Read.

  • Jinsi Vyakula Vikuu Vinavyoweza Kuimarisha Afya

    Jinsi Vyakula Vikuu Vinavyoweza Kuimarisha Afya

    ,

    Vyakula vikuu ni aina ya chakula ambacho huliwa kwa wingi. Hii ni kutokana na urahisi wa kupatikana au kwa sababu za kitamaduni. Ni chakula kinachopatikana kwa bei nafuu kwa sababu ya wingi wake. Inatoa mahitaji mengi ya chakula cha kila siku cha mtu. Takriban duniani kote, watu wana vyakula vya asili kulingana na aina ya… Read.

  • Ushauri wa Lishe kwa Watoto, Wajawazito na Wazee

    Ushauri wa Lishe kwa Watoto, Wajawazito na Wazee

    Magonjwa Yanayosababishwa na Ulaji Mbaya Chakula bora huhitajika kwa makuzi bora ya kila kiumbe ikiwemo wanyama na mimea. Kiumbe kinachopata lishe bora huwa imara na mwonekano ulio wa kuvutia. Kiumbe kinapokosa chakula kilicho bora, huwa dhaifu hivyo kushambuliwa na magonjwa mengi kutokana na kinga duni. Wapo wengi wanaokula chakula si kama mwili utakavyo. Hali duni… Read.

  • Mwongozo wa Chakula kwa Wasio Kula Nyama na Mayai

    Mwongozo wa Chakula kwa Wasio Kula Nyama na Mayai

    Vyakula vingi vinavyoliwa kwa karne hii ya 21 huliwa si kwa sababu ya manufaa yake mwilini. Bali huliwa ni kwa sababu ya kuufurahisha mwili. Furaha ambayo huishia kuuharibu mwili. Pia wapo waliojitenga na baadhi ya vyakula hasa mazao ya wanyama kwa sababu mbalimbali ikiwamo imani za dini. Kwa mfano Wahindu huruhusiwa kutumia maziwa na mbogamboga… Read.

  • Usalama wa Chakula: Jinsi Ya Kujikinga na Magonjwa Yaenezwayo kwa Vyakula

    Usalama wa Chakula: Jinsi Ya Kujikinga na Magonjwa Yaenezwayo kwa Vyakula

    Mwanadamu hula kwa wastani tani 70,000 za chakula katika kipindi cha uhai. Hutumia muda wa miaka tisa na miezi minne kwa kula. Pia mwanadamu hupaswa kuchagua kati ya aina 100,000 za chakula katika kipindi chote cha uhai wake. Kibaya zaidi ni kwamba wengi huishia kula vyakula vya aina moja. Hali hii inasababishwa hasa na uelewa… Read.

  • Vyakula Vitatu Muhimu kwa Ufanisi wa Ubongo

    Vyakula Vitatu Muhimu kwa Ufanisi wa Ubongo

    Chakula bora ni nini? Ni ukweli usiopingika kwamba, chakula huathiri tabia na ufanisi wa shughuli za ubongo na mwili wote kwa ujumla. Hivyo, muonekano wa nje wa mtu pamoja na utimamu wa akili ni matokeo ya chakula anachokula mtu. Mtu mwenye njaa hujisikia mpweke, asiye na furaha au amani na mnyonge. Bali mtu mwenye shibe… Read.

  • Athari za Fikra Chanya na Hasi kwa Mwili

    Athari za Fikra Chanya na Hasi kwa Mwili

    Sheria zinazotawala mwili na akili Katika ulimwengu wa sayansi, kuna elimu inayoitwa Auxology. Ni elimu inayohusu makuzi ya mwanadamu. Inashughulikia vichocheo au kemikali za mwilini (Hormones). Pia, inachunguza athari ya kila kichocheo kwa ukuaji wa mwili. Sayansi hii huhusisha Nyanja mbalimbali zinazohusika na ukuaji. Mifumo ya vichocheo, au hormones, na mwili kwa ujumla inachunguzwa. Jamii… Read.

  • Sababu za Kujifunza Elimu ya Afya Kila Siku

    Sababu za Kujifunza Elimu ya Afya Kila Siku

    ,

    Elimu ya afya ni nini? Elimu ya afya, ni mchakato wa kujifunza jinsi ya kutunza, kudumisha na kuendeleza afya ya mwili, akili na mazingira. Inahusu elimu ya afya ya akili na mazingira kwa maana vitu hivyo vitatu hutegemeana.  Kinapoathirika kimoja basi vyote huathirika kwa namna moja au nyingine. Neno mchakato humaanisha kuwa, elimu ya afya… Read.

  • Jifunze Kutumia Uwezo Wako wa Asili

    Jifunze Kutumia Uwezo Wako wa Asili

    Muda si mrefu nimekaa nikatafakari kitu nikaona sio vibaya kushare na wewe. Utajiri ama mafanikio ya mtu hayaanzi kwa kuwa na pesa, ni vyema ukatambuka kitu hiku kuwa mtaji wa kwanza kuwa nao sio pesa bali ni akili. Akili ndio mtaji namba moja kisha fedha ndiyo ifuate yaani namanisha hivi pesa ni matokeo ya matumizi… Read.

  • Mkristo Na Usimamizi Wa Fedha

    Mungu wetu ni mwenye upendo mkubwa sana kwa watu wake, Kabla hajamuumba Mwanadamu alijua kuwa kabisa Mwanadamu huyu anatakiwa kupata mahala pa kufikia pamoja na Rasilimali ambazo zitamsaidia kumudu maisha ya kila siku. Katika Kitabu cha Mwanzo 1, kinaeleza Uumbaji wa Mungu kwa muda wa siku sita, na Uumbaji huu wa Ulimwengu hauzi na Mwanadamu… Read.